Machapisho

LEO TUANGAZIE MAANA HALISI YA MUZIKI NA JINSI JAMII INAVYOLICHUKULI

UTANGULIZI kuna wanazuoni wengi ambao wamefasili maana ya mziki kwa ujumla wake aidha kwa mtazamo na zama walizonazo na mazingira yao kama ifuatavyo Kamusi ya Webster II ya New Riverside University inatafsiri muziki kuwa ni Sanaa ya kupanga sauti katika mtiririko maalum ili kutengeneza muundo endelevu. Kamusi ya Oxford toleo la 7 inafafanua; muziki ni sauti zilizopangiliwa vizuri kiasi ambacho zinafurahisha kusikiliza. Inaendelea kusema watu wanaweza kuimba muziki au kuupiga kwa kutumia ala za musiki. aidha katika majadiliano na baadhi ya watu majukwa kwenye jamii wanaeleza maana ya muziki kuwa muunganiko wa sauti zinazotoka kwenye ala sauti na maneno ya binadamu yakiwa na mpangilio maalumu @Siza jonathan kwa madai yake aaneleza dhana hii kuwa yeye amezaliwa na kukua pamoja na wanamziki kanisani ndio maana anaeleza hayo Muziki ni kitu kipana sana na huweza kufafanuliwa kwa jinsi tofauti tofauti, maana mbalimbali zimeweza kutolewa na wataalam mbalimbali na maana zote hizi zina ml...

MTOTO YESU KAZALIWA

Picha
Sikiliza kutoka kwa wanakwaya hawa wabunifu

UCHAMBUZI WA SHERIA ZA KAZI NA MASLAHI YA MTUMISHI KATIKA UTUMISHI WA UMA

TWENDE SAWA NA MCHAMBUZI WETU TUKIREJELEA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMA NA MAHUSIANO KAZINI -------------------- *kwenye utumishi wa umma kuna posho zifuatazo:-* 1.posho ya kujikimu(subsistence allowence) 2.posho usumbufu(distabance allowence) 3.Takrima(entertainment allowence) 4.posho ya kukaimu(acting allowence) 5.posho ya kazi maalumu) 6.posho ya mavazi(outfit allowence) 7.posho ya masaa ya ziada na kazi za ziada(overtime and extra duty allowence) 8.posho ya kilometa(kilometers allowence) 9.posho ya kikao(settings allowence) 10.posho ya mimba(housing allowance) 11.posho ya sare(unform allowence) 12.posho ya jeshi la polisi na magereza, huduma za zimamoto na uokoaji(police force and prisons,fireand rescue service allowence) 13.posho ya kukaimu; sehemu G( maintenance allowence)- section G N.k *Rejea kwenye kanuni za kudumu za Utumishi wa umma(standing order)L2* *NiPo* SHERIA ZINAZOSIMAMIA UTUMISHI WA UMMA, HAKI NA WAJIBU WA MTUMISHI WA UMMA 2.1 Utangulizi Katika mad...

FAHAMU VIKEMBE AU VIZALIA VYA WANYAMA MBALIMBALI

1.Bata – Kiyoyo 2.Ndovu – Kidanga 3.Nyani – Kigunge 4.Mbweha – Nyamawa 5.Fisi – Kikuto 6.Chui – Kisui/chongole 7.Simba – Shibli/Kibuai 8.Sungura – Kitungule 9.Punda – Kihongwe 10.Ngamia – Nirihi/Nirigi 11.Kondoo – Kibebe/Katama 12.Mbuzi – Kimeme/kibuli 13.Mbwa. – Mbwa/kidue/kilebu 14.Nguruwe – Kivinimbi 15.Farasi – Kitekli 16.Ndege/nyuni – Kinda 18.Paka – Kipusi/Kinyaunyau 17.Ngombe – Ndama 19.Chura – Kiluwiluwi 20.Samaki – kichengo 21.Mamba – Kingwena 22.Nyangumi – Kinyangunya 23.Papa – kinegwe 24.Nyoka – Kinyemere 25.Nzige – Kimatu/matumatu/funutu/tunutu/maige 26.Kipepeo – kiwavi 27.Nzi – Buu 28.Nge – kisuse 29.Nyuki – Jana 30.Mbu – Kiluwiluwi 31.Binadamu – Atifali/mwana

PITIA HII

Picha

UMISETA TANZANIA WATEMBELEWA NA WAWAKILISHI WA FIFA

Picha
wawakilishi toka fifa wakagua vipaji UMISETA mkoani tabora

MAELEKEZO YA KIKAO CHA MKURUGENZI WA ELIMU (DEA) NA WALIMU-BARIADI

*KIKAO CHA MKURUGENZI WA ELIMU (DEA) NA WALIMU-BARIADI (TC & DC) 18/06/2024* _Both organizational goals and individual goals should go parallel_ *Changamoto zilizobainika kutoka kwa Walimu* 1. Madaraja 2. Madai: mapunjo, uhamisho, likizo..... *Kazi Msingi za Mwalimu* •Malezi •Utoaji maarifa *Malezi* -Kuwajibika katika kuwalea watoto/wanafunzi. Kwa moyo wa dhati pasi na kukata tamaa. -Wajibu huu uwe kwa wanafunzi, jamii, mwajiri na taifa zima. -Shule salama. Uwepo wa masanduku ya maoni -Kuzungumza na wanafunzi juu ya vitendo kama (Ubakaji, ulawiti.....) *Utoaji wa maarifa (Taaluma)* -Kufundisha kwa hatua na dhati ya kweli -Mwalimu aliyejiandaa na anayeandaa -Mwalimu anayebadili mtazamo -Kuwatia moyo wanafunzi katika ujifunzaji _"Mwalimu bora ni anayemwezesha mwanafunzi na mwanafunzi ameweza"_ *Maelekezo ya Katibu Mkuu* 1. Ustawi wa Walimu (Chakula kazini, motisha stahiki....) 2. Viongozi watoe maelekezo kwa staha (Lugha ya staha) 3. Kutii na kuheshim...