Machapisho

TWENDE NA TIMU KWENYE UCHAGUZI WA CWT 2025

*Na mwandishi wetu* *Sir PANCRAS MAHELA* *From SONGEA MC* *0767549833/0786549833* *VIONGOZI NA TIMU ZAO ZA KAMPEINI* Ngoja tuongelee kidogo hizi timu za kampeni mwaka huu nimezipenda sana hasa hapa *KAHAMA MJINI* Zamani ilizoeleka kamati yote ya uendeshaji inasafiri pamoja hawataki mtu mwingine aivuruge kiukweli hapa ilikuwa ngumu sana kuimega ila miaka ya hivi karibu hapa kahama mwenyekiti ana msafara wake *Ke* anakundi lake *Vu* anakundi lake na *Ki* anakundi lake hapa zinapigwa siasa safi tulipokuwa kata ya mwendakulima Jana pale mgodini kabla ya kuingia kahama MJINI walimu walikuwa na shauku kubwa kumsikiliza mgombea alifika ila sasa tulicholalamika wengi mgombea Ali *select* mwakilishi tu kuzungumza naye kana kwamba huyu mwakilishi amebeba Mawazo ya walimu wote poa najua kupunguza maswali na muda ila mkishinda mje kama mnavyopita sasa hivi kutusikiliza matatizo yetu halafu myafikishe kwa mwajiri wetu. *Wawakilishi nawaomba msiwaombe* *chochote hawa wagombea* Uongozi ni d...

UCHAGUZI WA CWT 2025

Imeandikwa na:- Mwl PANCRAS MAHELA PHONE NUMBER:- 0786549833/ 0767549833 FROM SONGEA MC TZ *KAMPENI* *ZA* *CHAGUZI* *CWT* *2025* *TZ* Awali ya yote nianze kuwapongeza waasisi wa chama cha walimu TZ kwa kuweka muda maalumu wa uongozi na kutengeneza misingi ya kidemokrasi ya upatikanaji wa viongozi wake kote nchini kwa ngazi ya shule hadi Taifa. *MINYUKANO* *NGAZI* *YA* *WILAYA* Katika sehemu kubwa yenye minyukano na hekaheka basi nikuanzia ngazi ya wilaya muda wa kuchukua form ulikuwepo wakutosha na watu wamejitokeza sana japo mwaka huu tulitegemea ushindani mkubwa japo watu wetu wengi wazuri wajiondoa kwenye makato na kupelekea kukosa sifa za kugombea poleni sana mliofanya hivyo na hongereni kwa uamuzi wenu. Nijikite kwenye hizi kampeni, wawakilishi ngazi ya shule nyie ndiyo mapilato wa hili zipo nafasi nyeti tano ngazi ya wilaya ambazo viongozi wake wanatakiwa kuwa na muono wa hali ya juu siyo kuchaguana kirafiki au kishkaji au kwakuwa huyu mwanetu akishinda tutakunywa naye ...

LEO TUANGAZIE MAANA HALISI YA MUZIKI NA JINSI JAMII INAVYOLICHUKULI

UTANGULIZI kuna wanazuoni wengi ambao wamefasili maana ya mziki kwa ujumla wake aidha kwa mtazamo na zama walizonazo na mazingira yao kama ifuatavyo Kamusi ya Webster II ya New Riverside University inatafsiri muziki kuwa ni Sanaa ya kupanga sauti katika mtiririko maalum ili kutengeneza muundo endelevu. Kamusi ya Oxford toleo la 7 inafafanua; muziki ni sauti zilizopangiliwa vizuri kiasi ambacho zinafurahisha kusikiliza. Inaendelea kusema watu wanaweza kuimba muziki au kuupiga kwa kutumia ala za musiki. aidha katika majadiliano na baadhi ya watu majukwa kwenye jamii wanaeleza maana ya muziki kuwa muunganiko wa sauti zinazotoka kwenye ala sauti na maneno ya binadamu yakiwa na mpangilio maalumu @Siza jonathan kwa madai yake aaneleza dhana hii kuwa yeye amezaliwa na kukua pamoja na wanamziki kanisani ndio maana anaeleza hayo Muziki ni kitu kipana sana na huweza kufafanuliwa kwa jinsi tofauti tofauti, maana mbalimbali zimeweza kutolewa na wataalam mbalimbali na maana zote hizi zina ml...

MTOTO YESU KAZALIWA

Picha
Sikiliza kutoka kwa wanakwaya hawa wabunifu

UCHAMBUZI WA SHERIA ZA KAZI NA MASLAHI YA MTUMISHI KATIKA UTUMISHI WA UMA

TWENDE SAWA NA MCHAMBUZI WETU TUKIREJELEA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMA NA MAHUSIANO KAZINI -------------------- *kwenye utumishi wa umma kuna posho zifuatazo:-* 1.posho ya kujikimu(subsistence allowence) 2.posho usumbufu(distabance allowence) 3.Takrima(entertainment allowence) 4.posho ya kukaimu(acting allowence) 5.posho ya kazi maalumu) 6.posho ya mavazi(outfit allowence) 7.posho ya masaa ya ziada na kazi za ziada(overtime and extra duty allowence) 8.posho ya kilometa(kilometers allowence) 9.posho ya kikao(settings allowence) 10.posho ya mimba(housing allowance) 11.posho ya sare(unform allowence) 12.posho ya jeshi la polisi na magereza, huduma za zimamoto na uokoaji(police force and prisons,fireand rescue service allowence) 13.posho ya kukaimu; sehemu G( maintenance allowence)- section G N.k *Rejea kwenye kanuni za kudumu za Utumishi wa umma(standing order)L2* *NiPo* SHERIA ZINAZOSIMAMIA UTUMISHI WA UMMA, HAKI NA WAJIBU WA MTUMISHI WA UMMA 2.1 Utangulizi Katika mad...

FAHAMU VIKEMBE AU VIZALIA VYA WANYAMA MBALIMBALI

1.Bata – Kiyoyo 2.Ndovu – Kidanga 3.Nyani – Kigunge 4.Mbweha – Nyamawa 5.Fisi – Kikuto 6.Chui – Kisui/chongole 7.Simba – Shibli/Kibuai 8.Sungura – Kitungule 9.Punda – Kihongwe 10.Ngamia – Nirihi/Nirigi 11.Kondoo – Kibebe/Katama 12.Mbuzi – Kimeme/kibuli 13.Mbwa. – Mbwa/kidue/kilebu 14.Nguruwe – Kivinimbi 15.Farasi – Kitekli 16.Ndege/nyuni – Kinda 18.Paka – Kipusi/Kinyaunyau 17.Ngombe – Ndama 19.Chura – Kiluwiluwi 20.Samaki – kichengo 21.Mamba – Kingwena 22.Nyangumi – Kinyangunya 23.Papa – kinegwe 24.Nyoka – Kinyemere 25.Nzige – Kimatu/matumatu/funutu/tunutu/maige 26.Kipepeo – kiwavi 27.Nzi – Buu 28.Nge – kisuse 29.Nyuki – Jana 30.Mbu – Kiluwiluwi 31.Binadamu – Atifali/mwana

PITIA HII

Picha