Machapisho

PITIA HII

Picha

UMISETA TANZANIA WATEMBELEWA NA WAWAKILISHI WA FIFA

Picha
wawakilishi toka fifa wakagua vipaji UMISETA mkoani tabora

MAELEKEZO YA KIKAO CHA MKURUGENZI WA ELIMU (DEA) NA WALIMU-BARIADI

*KIKAO CHA MKURUGENZI WA ELIMU (DEA) NA WALIMU-BARIADI (TC & DC) 18/06/2024* _Both organizational goals and individual goals should go parallel_ *Changamoto zilizobainika kutoka kwa Walimu* 1. Madaraja 2. Madai: mapunjo, uhamisho, likizo..... *Kazi Msingi za Mwalimu* •Malezi •Utoaji maarifa *Malezi* -Kuwajibika katika kuwalea watoto/wanafunzi. Kwa moyo wa dhati pasi na kukata tamaa. -Wajibu huu uwe kwa wanafunzi, jamii, mwajiri na taifa zima. -Shule salama. Uwepo wa masanduku ya maoni -Kuzungumza na wanafunzi juu ya vitendo kama (Ubakaji, ulawiti.....) *Utoaji wa maarifa (Taaluma)* -Kufundisha kwa hatua na dhati ya kweli -Mwalimu aliyejiandaa na anayeandaa -Mwalimu anayebadili mtazamo -Kuwatia moyo wanafunzi katika ujifunzaji _"Mwalimu bora ni anayemwezesha mwanafunzi na mwanafunzi ameweza"_ *Maelekezo ya Katibu Mkuu* 1. Ustawi wa Walimu (Chakula kazini, motisha stahiki....) 2. Viongozi watoe maelekezo kwa staha (Lugha ya staha) 3. Kutii na kuheshim...

WALIMU WAKUU WILAYANI MPWAPWA WAPATIWA MAFUNZO YA MATAALA ULIOBORESHWA

Picha
PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI ZIMECHUKULIWA NA MWANDISHI WETU CHRISPINE KIHOMBO KUTOKA MAKTABA YA OFISI YA UKAGUZI MPWAPWA href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirtD76Q3PzXcX61uYQXq2QciExHoHXRVNlocYlSP6j9DuoCWhsum-k-PQnXn6hnUWRRhCwxO6u58lJSAhLY1_p7LuGA6n_OqR5i9MUjqqME9xNIa5dJApynhvMouCaSX190GHGUiwbhNI4eg5a1Jt0CpoAOsXnZizFjf-gN_aBwnkNM5-jCIhOI4gKgks/s1600/IMG_20220928_100543_489.jpg" style="display: block; padding: 1em 0; text-align: center; "> matukio mbalimbali katika mafunzo ya mtaala ulioboreshwa kwa walimu wakuuu wilayani mpwapwa

WALIMU WAKUU MKOA WA DODOMA WAPATOWA MAFUNZO YA UONGOZI

Picha
imeandikwa na Thenyota chriss serikari ya ya rais mama SAMIA SULUHU HASANI katika kuboresha usimamizi wa kielimu kupitia wakala wa maendeleo ya uongozi wa elimu ADEM wametoa mafunzo hayo kwa siku tatu mkoani dodoma kwa makundi muda wa siku tatu kila kundi na kuwajengea uwezo wa uongozi walimu hao kufanya kazi kwa ari zaidi aidha muda wote wa mafunzo ambayo mpaka sasa yanaendelea washiriki wana utulivu zaidi ili kupata maarifa hayo. mafunzo hayo yataisha siku ya jumatano tarehe 04/10/2023 usisahau kulike na kusubscibe toa maoni yako

CHAKUHAWATA NI QNET ILIYOCHANGAMKA

CHAKUHAWATA NI QNET ILIYOCHANGAMKA. Na Thadei Ole Mushi. Juzi niliandika kuwa Chakuhawata ni mchongo wa wahuni wengine waliopo mjini, wakanipigia simu wakaniambia Koma kama kocha wa Simba Robentihno alivyokoma kumtoa Chama. Ninachojua mimi kumkata mwalimu maokoto ya 5,000 kila mwezi ni kumlagai Mwalimu tu ili aingie kwenye 18 na watu waanze kuokota maokoto na kutokomea kusikojulikana. Kwa vyovyote vile kama wanataka kuja kuwa chama cha kweli cha kutetea maslahi na haki za waalimu hawataweza kukiendesha chama hicho kwa shilingi 5,000 kwa kila mwalimu kukakatwa kila mwezi. Hesabu hazidanganyi. Kwa mujibu wa Takwimu zilizopo jumla ya walimu wote nchini Msingi na Sekondari wapo 258,291. Fuata link kupata taarifa za takwimu za walimu:- http://demo8.eganet.go.tz/tsc/statistics MAPATO YA CHAKUHAWATA. Chakuhawata wanakata 5,000 kwa kila mwalimu, tuseme sasa walimu wote wamejitoa wamejiunga nao hivyo ni 5,000 X 258,291 X 12 (Miezi) unapata jumla ya 15,497,460,000 (Bilioni 15.4) hapa...

CHAKUWAHATA NA 5000 YAKO

*Je, Tsh. 5000/- inatosha kuendesha Chama Cha Wafanyakazi?* *Utangulizi* Makala haya yanalenga kujibu swali Hilo, ikiwa ada ya 5000 inatosha kuendesha Chama Huru Cha Wafanyakazi, kwa misingi ya kazi adhimu za Vyama husika. *Dhana ya Vyama Huru vya Wafanyakazi* Chama Cha Wafanyakazi Ni umoja wa wanachama, wanaoamua kuja pamoja kwa ajili ya kulinda na kutetea haki na maslahi. Hata Hivyo, nchi nyingi katikati ya majangwa ya Murzuq na Red, kulinda haki na maslahi si kazi ndogo, kwa kuwa, kazi ya Kwanza Ni _kulinda ajira zenyewe na hadhi yake_. *Kazi za Vyama Vya Wafanyakazi Ni Zipi?* Kwa muktadha wa Tanzania, na Afrika kwa ujumla, Chama Cha Wafanyakazi kinatarajiwa kufanya yafuatayo na ziada;- i) Kuwaunganisha Wafanyakazi wa kada husika wawe kitu kimoja. ii) Kuwawakilisha wanachama wake kwenye majadiliano Kati yao na mwajiri, eneo walipo, wilayani, mkoani na Taifa. Lakini inakwenda mbali zaidi, kwa kuwa dunia Haina visiwa kwa mantiki ya ajira, Wafanyakazi wa Tanzania wanapaswa ku...