Machapisho

UMEAMKAJE MTU WANGU WA NGUVU MAGAZETI YAMEKUFIKIA YA LEO TAREHE 17/08/2022 USIPITWE

Picha
haya hapa magazeti ya leo usisahau kulike na kukomen

LEO TAREHE 16/08/2022 TUMEKUSOGEZEA MAGAMAGAZEA MAGAZETI

Picha
MAGEZETI YA LEO YAJAA RAIS MTEULE WA KENYA Usisahau kulike na kucomment follow me Facebook and Tweeter

MAGAZETI YA LEO TAREHE 15/08/2022 HAYA HAPA

Picha
  Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 15,2022 Diramakini Rais Samia alegeza masharti vituo vya mafuta vijijini...

KIKOSI CHA SIMBA MSIMU WA 2022/2023

Picha
  KIKOSI Cha Simba SC msimu wa 2022/2023 Simba SC Squard 2022/2023 ,  Kikosi Cha Simba 2022/2023, Kikosi cha Simba SC 2022/2023, Kikosi Cha Simba Sports Club, Simba Sports Club Squad, Wachezaji wapya wa Simba SC 2022/2023, Kikosi cha Simba 2022/23, Kikosi cha Simba SC 2022-2023, Simba Sc Squad 2022/2023, Msimbazi Jijini Dar es Salaam, Watani wa Jadi, Msimbazi, Simba SC Tanzania,Wachezaji Waliosajiliwa Simba SC  Nijuze Mpya -| Pata Habari zote za Michezo kitaifa na Kimataifa, Tetesi na Usajili, Magazeti ya Michezo, Ratiba na Matokeo, Mahusiano Pamoja na Nafasi za Kazi JIUNGE NA GROUP LETU LA TELEGRAM HAPA Home     Michezo     KIKOSI Cha Simba SC msimu wa 2022/2023 MICHEZO KIKOSI Cha Simba SC msimu wa 2022/2023 By   Admin  -   02/08/2022   0 JIUNGE NA GROUP LETU LA  TELEGRAM   HAPA KIKOSI Cha Simba SC msimu wa 2022/2023 Simba SC Squard 2022/2023 ,  Kikosi Cha Simba 2022/2023, Kikosi cha Simba SC 2022/2023, Kikosi Cha Si...

MAMBO MHIMU KWA MWALIMU KWA MWAKA 2022

 Imeandikwa na MBEMBE J. S. EWE MWALIMU TUNAENDA MWAKA WA MASOMO 2022 TUJIEPUSHE NA MAMBO  HAYA ILITUEPUKE MIGOGORO BAINA YETU NA WATAALUMA, WAKUU NA HATA WAMILIKI KUPELEKEA KUTUFUKUZA KAZI kuacha kazi rahisi ila kazi kupata kazi TUSIWALAUMU VIONGOZI  TU HATA SIE WALIMU TUNAMAKOSA  baadhi Mambo ni*  1:Epuka Kufanya kazi kwa mazoea (jitahidi kuwa mbunifu mshawishi boss wako kwanini alikuajiri wewe na aliachakuajiri wengine  2: Epuka Makundi kazini kuwa mtu flexible unapenda story ila out of work hour na sio muendelezo  3:Epuka Kuingilia madaraka Ambayo wewe haya kuhusu ya kiuongozi  4: Wahi kazini na kuwa mnyumbufu pindi ufikapo kazini na siku moja moja shiriki majukumu ya usimamizi ya Mambo ya Mwl wa zamu hata kama sio mwl wa zamu  5: Tanguliza kujitolea kwanza hata pasipo kutamani malipo na jitoe kwa ajiri ya shule kwanza  6: kuzingatia na kutii maagizo ya mtaaluma na kuwasilisha kwa wakati Mfn lesson plan , scheme, lesson notes , teac...

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA DINI OSCAR KIHOMBO

 https://youtu.be/nu7OZZqL7Wo

MAMBO MATANO AMBAYO NIMECHELEWA KUYAJUA KUHUSU FEDHA*

 Na Isaack   Nsumba 1. Nimechelewa kujua kuwa fedha inaongea na mwenye nayo Fedha ina sauti, fedha inasema, fedha inaongea na mwenye nayo...kuna mambo huwezi isikia nafsi yako ikikutaka uyafanye kama huna fedha, ukiwa na fedha utaisikia nafsi yako ikikulazimu uyafanye, watu waliofanikiwa kifedha ni wale ambao walizishinda zile sauti mbaya zinazosema ndani yao mara baada ya kupata fedha, watu waliofeli ni wale ambao waliisikiliza sauti ya fedha na kuifuata kisha kufanya fedha ilivyowataka wafanye. 2. Nimechelewa kujua kuwa fedha haina uhusiano na kisomo. Ndio, fedha haina uhusisno hata kidogo na kisomo, ili mtu aweze kuipata fedha anahitaji elimu (ufahamu na maarifa) ili mtu aweze kuitunza na kuizalisha fedha anahitaji elimu pia (namna ya kuizalisha, kuitunza na kuisimamia "Financial Management Techiniques" ila haitaji kisomo, ndio maana tuna watu wengi wamesoma na hawana fedha walizoamini watapata mara baada ya kusoma, nimechelewa kujua kuwa wenye visomo wengi wanaongoza ...