Machapisho

USITESEKE NA MWEZI JANUARY NA ADA

 SIKIA;  Kama hauna hela ya kumpeleka mtoto wako shule za gharama (ada kubwa) ambazo inasemekana zinatoa elimu bora kuliko hizi zetu za Serikali, Basi mlete tu shule za serikali kisha fanya yafuatayo.    1- hakikisha umemnunulia uniform kuanzia 3 Ili awe msafi kila siku shuleni, usafi huleta kujiamini kwa mwanafunzi (maana hata hao wa kimataifa ukiwatazama physically usafi kwao namba 1). Mnunulie sox pea 5, mashati 3 sketi/bukta 2 Ili Kati Kati ya wiki ziwe zinafuliwa , hakikisha zinapigwa pasi na kama unaweza tupiamo hata dodorant ya Buku 5, unajua hizi shule za serikali unakuta watoto wachafu, kola nyeusi, uniform imechanika n.k Sasa ile inaua confidence ya mtoto ,kumbuka hata walimu wanapenda wanafunzi wasafi.   2- kiherehere smart hakikisha unakua karibu na walimu wake,haswa ikiwezekana uhakikishe anakaa dawati la mbele darasani, au ambapo mwl atamfikia au kumuona kirahisi, kuna faida ya kukaa dawati la mbele achana na back benchers tabia zao tunazikumbuka n...

TUSIMLAUMU MAGUFULI TUJILAUMU WENYEWE

  Watanzania wa kipindi cha kwanza cha mkapa watakubaliana nami kuwa mazoea yanaharibu sana fikla za jamii, kipindi cha kwanza cha mkapa nchi ilikuwa imetoka katika uongozi wa ruksa maana yake nchi ilikuwa haina mifumo imara hivyo alipoingia mkapa alisababisha watu wengi kuanza kuona kwamba mkapa amewaharibia biashara na ndipo kodi nyingi zilianzishwa za sehemu mbalimbali watu walikimbia kwa sababu watu waliokuwa hawana shughuli zaidi ya uzurulaji na ujanja ujanja walimchukia sana jamaa lakini matokea yake yalionekana baadaye nchi ilianza kujiendesha. Sasa vijana wa leo nao wanarudi kulekule ambako tulitoka na ndio maana naanza kukubaliana na msemo samaki mkunje angali mbichi na tatizo hili linaanzia kwenye mifumo ya sheria kuoneka nzuri anapopatikana rais mpole na kuonekana mbaya na kandamizi akipatikana anayezisimamia sawia. Wote mashahidi kwamba sheria za kodi hazijabadika hata kidogo bali kuna udhibiti na ukomeshwaji wa rushwa kwenye biashara, kwa sasa maghendo,rushwa,kukwepa k...

UCHAGUZI TANZANIA 2020

Picha
  KWA MOJA YA TV MEDIA CENTER Uchaguzi Mkuu Tanzania 2020 Joto la uchaguzi nchini Tanzania linazidi kupanda ambapo taifa hilo la Afrika Mashariki linafanya uchaguzi wake wa tano tangu kuasisiwa kwa demokrasia ya vyama vingi zaidi ya miongo miwili iliyopita. Nchini Tanzania vyama vya siasa vimekamilisha michakato ya ndani ya kuwatafuta makada watakaoviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020. Uchaguzi huo ni wa tano kufanyika tangu kuasisiwa kwa demokrasia ya vyama vingi 1995, zaidi ya miongo miwili iliyopita.

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

*🔥🔥🔥COMPUTER WINDOWS AND PROGRAMMES INSTALLATION🔥🔥🔥* *_SIKU HIZI MAMBO YAMERAHISISHWA PIGA SIMU AU TUMA SMS HUDUMA IKUFIKIE ULIPO* *HUDUMA ZETU NI KAMA IFUATAVYO* 🛠️ *computer maintenance* hardware and software troubleshooting kwa muda muaafaka na gharama nafuu kabisa* *🖊️WINDOWS INSTALLATION AND ACTIVATION,* kama vile 👉🏼Windows 7, 👉🏼Windows 8 & 8.1 👉🏼Windows 10 👉🏼Windows XP, Ubuntu, Linux etc. *🖊️PROGRAMMES INSTALLATION* 👉🏼Adobe Photoshop cc 2017 👉🏼Drivers 👉🏼Media Players kama vile; Vlc, Visual DJ, JetAudio, Pot, Rich etc. 👉🏼Antivirus; kama vile; 360 Total Security, Smadav, IObit-Malware Fighter, AVG_Protection, etc. 👉🏼Microsoft Offices, 2007, 2010, 2013 & 2016. 👉🏼Adobe Reader (PDF) Reader 👉🏼Browsers kma vile; Firefox, Opera, Chrome etc. *🖊️PIA TUNAUZA SETUP/IMAGE ZA WINDOWS NA PROGRAMME MBALIMBALI KWA BEI NAFUU SANA* *🖊️SIYO HIVYO TU PIA TUNAFUNDISHA JINSI YA KUINSTALL WINDOWS NA PROGRAMMES MBALIMBALI PAMOJA NA...

NIMEKUSOGEZEA MAGAZETI YA LEO TAREHE 26/03/2020

Picha
Kutana na magazeti ya leo tarehe 26/03/2020

TAMISEMI WARUHUSU KUBADILI COMBINATION

Kwa wanafunzi ambao wanahitaji kubadilisha combination ingia hapa http://selform.tamisemi.go.tz/Account/Login Usisahau kusubscribe na kushare

HAYA NDIYO MABADILIKO UNAYOTAKIWA KUJUA

Usipobadilika, Dunia Itakubadilisha 1. Dunia ya Leo sio Dunia ya Kesho Tunaishi katika dunia mbayo huwezi kujua nini kitatokea kesho. Miaka michache iliyopita, hakuna aliyejua kwamba biashara ya Taxi itachukuliwa na UBER, BOLT, OLA CABS, LIM nk. Hakuna aliyejua kwamba leo hii mtu mwenye nyumba yake ya vyumba 3 atakuwa akigombania wateja "customers" dhidi ya mahoteli makubwa ya nyota 5 kama Hilton na Wyndham Worldwide kupitia Air BnB. Hakuna aliyejua kwamba NETLFIX itakuwa na nguvu kuliko vituo vya Tv na majumba ya sinema kama Century Cinemax. Na mbaya zaidi, hakuna aliyejua kwamba kazi nyingi zikiwemo za kitaalamu kama za wanasheria “lawyers”, madaktari “doctors”, marubani wa ndege “pilots” na waamuzi wa michezo mbalimbali ikiwemo soka “referees” zitachukuliwa na mashine au “robots”. Haya mabadiliko yapo kila sehemu kuanzia kwenye uchumi mpaka kwenye familia. Nani leo hii alijua kwamba itafika siku mwanamume na mwanamume wataruhusiwa kuwa mume na mke? “same sex marriage...