WALIMU WA MPWAPWA WASHUKURU HALMASHAURI YA BAHI KWA MAWAZO YA KUINUA UFAURU

Katika kikao chao ambacho walimu wa mpwapwa waliomba kujifunza mbinu za kuinua taaluma ikiwa ni lengo la kuifanya dodoma mpya ya kielimu aidha katika hali isiyo ya kawaida walimu wameshangaa Bahi walivyoweza kushirikiana katika suala la kielimu kwa pamoja ikiwa kuanzia wazazi na viongozi wote katika idara mbalimbali. kwaherini bahi karibuni mpwapwa mwakani mtajifunza kwetu pia.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

RIWAYA YA KISWAHILI NA SIFA ZAKE

KI 311 SEMANTIKI NA PRAGMATIKI YA KISWAHILI

TANZU ZA USHAIRI WA KISWAHILI