YANGA WASHAONDOKA TAYARI

Club ya Yanga SC kwenda Tunisia leo Feb 7, 2023, Afisa habari afunguka haya “Tuna Wachezaji 25” February 7, 2023 Share 1 Min Read Club ya Yanga SC inaondoka leo kuelekea Tunisia kwa ajili ya kuanza mchezo wake wa kwanza wa hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika US Monastir. Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe amesema Timu itaondoka na kikosi cha Wachezaji 25, Aboutwalib Mshery atasafiri na Timu kwa ajili ya kwenda Tunisia kupatiwa matibabu wakati Bernard Morrison atabaki Dar es Salaam akitibiwa nyonga. “Tuna Wachezaji 25 katika kikosi chetu lakini hawa 25 yupo pia Aboutwalib Mshery, Mshery anakwenda Tunisia kwa ajili ya matibabu”

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

RIWAYA YA KISWAHILI NA SIFA ZAKE

KI 311 SEMANTIKI NA PRAGMATIKI YA KISWAHILI

TANZU ZA USHAIRI WA KISWAHILI