TAZA HAPA PICHA MBALIMBALI ZA MECHI YA SIMBA NA YANGA.

Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima akiwania mpira wa mshambuliaji wa Yanga Donald ngoma katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Ngao ya Jamii unaoendelea hivi Uwanja wa Taifa.

Kiungo wa Yanga Rafael Daud akimruka beki wa Simba Method Mwanjali katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Ngao ya Jamii unaoendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa

Beki wa kati wa Yanga Kelvin Yondani na mshabuliaji wa Simba Laudit Mavugo wakigombania mpira katika mchezo wa ufunguzi wa ligi wa Ngao ya Jamii unaoendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa.

Mshambuliaji wa Yanga Donald Ngoma akimruka beki wa Simba Method Mwanjali katika mchezo wa ufunguzi wa ligi wa Ngao ya Jamii unaoendelea sasa hivi Uwanja wa Taifa

Golikipa Rostand Youthe akiruka juu na kudaka mpira akiwa sambamba na mshabuliaji wa Simba Emanuel Okwi.

Kiungo wa Simba Haruna Niyonzima akipiga pigo la adhabu nje ya kumi na nane

Mshambuliaji wa Yanga Donald Ngoma akipambana na beki wa kati wa Simba Salim Mbonde katika mchezo wa ufunguzi wa ligi Ngao ya Jamii.

Mashabiki wa timu ya Simba

Mashabiki wa timu ya Yanga

Kikosi cha timu ya Simba

Kikosi cha timu ya Yanga
0inemcastbe-Omaha William Craft download
JibuFutapihopthershap
sergefi-tePueblo Amanda Duarte ESET NOD32 Internet Security
JibuFutaWindscribe
SolidWorks
Toon Boom Harmony Premium 21.0.1.17727
ricstydedi