BABU ASEMA ITENGULINYI WAMEKWISHAAA



Kikosi cha timu ya walimu ifunda

Kocha wa timu ya walimu ifunda maarufu kama BABU akiongea na mwalimu mchezaji maarufu kama MUHENGA mwalimu UTENGA amesema kutokana na ushindi walioupata kwenye mechi yao hapo jana katika kijiji cha ITENGULINYI matokeo hayo yanawawezesha kufuzu kuendelea mbele zaidi ya michuano hiyo.
Na THENYOTA CHRISS

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

RIWAYA YA KISWAHILI NA SIFA ZAKE

KI 311 SEMANTIKI NA PRAGMATIKI YA KISWAHILI

TANZU ZA USHAIRI WA KISWAHILI