Machapisho

FAIDA ZA KUNYWA MAJI ASUBUHI KABLA YA KUTUMIA CHOCHOTE

Picha
  Miili yetu inaundwa na asilimia 70 ya maji, hivyo ni muhimu kunywa maji ya kutosha ili kuufanya mwili kufanya kazi vyema. Kunywa takriban Mililita 160 za maji kabla ya kuswaki au kula chochote mara tu unapoamka. Kunywa maji angalau dakika 30 kabla ya kula, lakini si ndani ya dakika 45 baada ya kifungua kinywa, chakula cha mchana au chakula cha jioni. Faida 8 Muhimu 1. Huondoa sumu mwilini Unywaji wa maji mengi husaidia kuondoa sumu mwilini kwani huwezesha viungo kama vile figo kufanya kazi yake vyema. Unapokunywa maji kabla ya kula chochote asubuhi utauwezesha mwili wako pia kujenga misuli na kuzalisha seli mpya za damu.

FAHAMU JINSI PESA YA CWT INAVYOLIWA MWALIMU ANAUMIA

PESA YA MWALIMU INAVYOPIGWA NA VIONGOZI WA CWT  Na Thadei Ole Mushi.  Walimu wa nchi hii asilimia 90 uliwaambia kwa nn Viongozi wa CWT huwa wanapigana wenyewe kwa wenyewe hawawezi kukuambia na wala hawajui chochote.  Nataka leo usijiulize tena kwa nini wanapigana na kupelekana mahakamani kila siku…. Twende sawa na ripoti hii ifuatayo:-  1. RIPOTI YA CAG Tarehe 27/3/2017 Katibu mkuu kiongozi alimuomba CAG afanye ukaguzi kwenye chama cha Waalimu CWT. Ukaguzi ulijikita katika tuhuma dhidi ya Uongozi wa chama cha waalimu zinazohisu ubadhirifu wa fedha na mali za chama. Ukaguzi maalumu ulikagua taarifa za mapato na matumizi ya Chama, Uliangalia uhusiano uliopo kati ya Benki ya waalimu na waalimu wenyewe, uhusiano uliopo kati ya Mwalimu haouse na mwalimu mwenyewe. YALIYOBAINIKA. a) Hakuna mfumo mzuri wa wanachama unaoonyesha kumbukumbu za wanachama. Katiba ya CWT inaeleza kuwa kunatakiwa kuwe na aina nne za wanachama lakini CWT hawaonyeshi aina hizo za wanachama hivyo haij...

FANYA HIVI UKIIBIWA SIMU YAKO

Mambo matano unayotakiwa kufanya iwapo simu yako ya mkononi imeibiwa 20 Aprili 2022 simu CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Maelezo ya picha, Mtu yeyote yule anaweza kuibiwa simu Tunaburudika tukiwa mbali na nyumbani, tunapuuzilia mbali kutumia simu ya rununu kwa muda na tunapoangalia mfukoni, begi au mahali tulipoiweka, haipo tena. Wezi wanaweza kuwa na ujuzi mkubwa wa kuiba simu za mkononi kwa kipindi kifupi tu. Mbali na kutufanya tujisikie vibaya, wizi wa simu za mkononi unaweza kuathiri hati na data ya kibinafsi na kusababisha athari katika akiba zetu Zifuatazo ni hatua tano unazotakiwa kuchukua iwapo simu yako imeibwa. 1. Ifunge simu yako Iwapo simu yako ya mkononi itaibiwa, hatua ya kwanza ni kuzuia kifaa hicho mara baada ya kupotea, kwa mujibu wa Emilio Simoni, mtaalamu wa usalama wa kidijitali na mkurugenzi wa dfndr Lab, wa kikundi cha CyberLabs-PSafe. "Ni muhimu sana kuwasiliana na kampuni ya simu unayotumia na kuwaomba waifungie kwa muda na kuifanya simu isiweze kutumi...

ZIJUE HAKI NA WAJIBU WA MTUMISHI WA UMMA

Haki na Wajibu wa Mtumishi wa Umma Mtumishi wa Umma una wajibu wa kutumia elimu, ujuzi na bidii katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Kadhalika una haki na stahiki mbalimbali unazopaswa kuzipata kutoka kwa mwajiri wako kama ifuatavyo:- 2.3.1 Kupewa Mkataba wa Kazi (Barua ya Ajira) Mtumishi wa Umma una haki ya kupewa barua ya ajira inayoonesha jina lako, anuani yako, tarehe ya ajira, aina ya ajira, cheo, ngazi ya mshahara, kiwango cha mshahara na masharti mengine ya ajira yako [Rejea Kanuni D.32 ya Kanuni za Kudumu Katika Utumishi wa Umma, 2009]. 2.3.2 Posho ya Kujikimu Unapoajiriwa kwa mara ya kwanza unastahili kulipwa posho ya kujikimu ya siku 7 kwa ajili yako,. (Rejea Kanuni ya L. 6. Kanuni za Kudumu Katika Utumishi wa Umma, 2009 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2011). Aidha, unastahili kupata posho ya njiani kwa safari inayozidi masaa sita (6). Posho hii hulipwa kwa kiwango cha nusu ya posho ya kujikimu ya siku moja [Rejea Kanuni L. 2(3) ya Kanuni za Kudumu Katika Utumishi wa...

NAKULETEA STORY YA ROMA MKATORIKI KATIKA MAISHA YAKE YA NDOA ANASHEREHEKEA MIAKA 7 YA NDOA YAKE

Picha
  anaandika R.O.M.A MKATORIKISiku 1 Nikiwa Shule,Nilialikwa Kwenye Sherehe Ya Communio Nyumbani Kwa Binti Mmoja Niliyekuwa Nikimuwinda Sana Aingie Kwenye 18 Zangu.Siku Hiyo Aliponialika Nikafurahi Sana Na Kusema LEO LINAKUFA JITU,Mchongo Ulikuwa Unafanyika Bom Bronx Kiwalani…Baba Ako Nikatimba Na Mwanangu Kufika Kwa Party M2 Shazi,Binti Alialika Rafiki Zake Wa Kike Na Kiume, Mbaya Zaidi Kwenye Hao Machizi Wa Kiume Binti Alikuwa Ana-Date Nao Kadhaa (BINTI MJUAJI SANAAA)Kwaio Akawa Kama Kagonganisha Subaru Hivi!Binti Akawa Anashindwa Kujigawa Aende Wapi,Mi Nipo Tu Na Mwana Tuna 🍻 Beer Ya 1,Beer Ya 2,Beer Ya Tatu Aah Nikaona Sio Kweli Mbona Kinyonge, Binti Akija Kwangu Anauliza Tu Mko Poa? Aaf Anapotea,Akienda Kwa Wana Analikita Masaa Mawili! SIKUPENTAA! Nikawa Namchana Mwana Tubwage, Mwana Akasema Tukaze Huyu Wetu Leo! Dakika Chache Mbele MUUJIZA UKATOKEA Alikuja Dada M1 (Ambaye Ni Rafiki Wa Yule Binti) Akaja Kutuhudumia Vinywaji Na Kuanza Kutupa Kampani (Nahisi Aliona Tumekaa K...

MWALIMU MATATANI KWA TUHUMA ZA KUJERUHI MWANAFUNZI

:  Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia Mwalimu Joseph Mwahenya (34) wa Shule ya Sekondari Mlowo ya kutwa iliyoko Wilaya ya Mbozi akituhumiwa kumshambulia Costantino Nebart Mwazembe (18) ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule hiyo sehemu mbalimbali za mwili kwa kumpiga na fimbo, ngumi na mateke kwa sababu za utovu wa nidhamu na kumsababishia kushindwa kusimama, kukaa wala kutembea ambapo mpaka sasa mwanafunzi huyo amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi Vwawa akiendelea na matibabu. By thenyota chriss 

KATIKA KUANGAZIA TOZO MTAALAMU WA UCHUMI JUU YA TOZO

KATIKA KUANGAZIA MASUALA YA UCHUMI HASA KATIKA TOZO ZA SERIKALI mtaalamu wetu wa uchumi DK SHAUKU KIHOMBO kwa kina anafafanua kwa kina juu ya hilo fuatilia video https://drive.google.com/file/d/1NHD9I6wudEdV9dJMWIjDtjYOTHTGicyF/view?usp=drivesdk