Machapisho

TUSIMLAUMU MAGUFULI TUJILAUMU WENYEWE

  Watanzania wa kipindi cha kwanza cha mkapa watakubaliana nami kuwa mazoea yanaharibu sana fikla za jamii, kipindi cha kwanza cha mkapa nchi ilikuwa imetoka katika uongozi wa ruksa maana yake nchi ilikuwa haina mifumo imara hivyo alipoingia mkapa alisababisha watu wengi kuanza kuona kwamba mkapa amewaharibia biashara na ndipo kodi nyingi zilianzishwa za sehemu mbalimbali watu walikimbia kwa sababu watu waliokuwa hawana shughuli zaidi ya uzurulaji na ujanja ujanja walimchukia sana jamaa lakini matokea yake yalionekana baadaye nchi ilianza kujiendesha. Sasa vijana wa leo nao wanarudi kulekule ambako tulitoka na ndio maana naanza kukubaliana na msemo samaki mkunje angali mbichi na tatizo hili linaanzia kwenye mifumo ya sheria kuoneka nzuri anapopatikana rais mpole na kuonekana mbaya na kandamizi akipatikana anayezisimamia sawia. Wote mashahidi kwamba sheria za kodi hazijabadika hata kidogo bali kuna udhibiti na ukomeshwaji wa rushwa kwenye biashara, kwa sasa maghendo,rushwa,kukwepa k...

UCHAGUZI TANZANIA 2020

Picha
  KWA MOJA YA TV MEDIA CENTER Uchaguzi Mkuu Tanzania 2020 Joto la uchaguzi nchini Tanzania linazidi kupanda ambapo taifa hilo la Afrika Mashariki linafanya uchaguzi wake wa tano tangu kuasisiwa kwa demokrasia ya vyama vingi zaidi ya miongo miwili iliyopita. Nchini Tanzania vyama vya siasa vimekamilisha michakato ya ndani ya kuwatafuta makada watakaoviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020. Uchaguzi huo ni wa tano kufanyika tangu kuasisiwa kwa demokrasia ya vyama vingi 1995, zaidi ya miongo miwili iliyopita.

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

*🔥🔥🔥COMPUTER WINDOWS AND PROGRAMMES INSTALLATION🔥🔥🔥* *_SIKU HIZI MAMBO YAMERAHISISHWA PIGA SIMU AU TUMA SMS HUDUMA IKUFIKIE ULIPO* *HUDUMA ZETU NI KAMA IFUATAVYO* 🛠️ *computer maintenance* hardware and software troubleshooting kwa muda muaafaka na gharama nafuu kabisa* *🖊️WINDOWS INSTALLATION AND ACTIVATION,* kama vile 👉🏼Windows 7, 👉🏼Windows 8 & 8.1 👉🏼Windows 10 👉🏼Windows XP, Ubuntu, Linux etc. *🖊️PROGRAMMES INSTALLATION* 👉🏼Adobe Photoshop cc 2017 👉🏼Drivers 👉🏼Media Players kama vile; Vlc, Visual DJ, JetAudio, Pot, Rich etc. 👉🏼Antivirus; kama vile; 360 Total Security, Smadav, IObit-Malware Fighter, AVG_Protection, etc. 👉🏼Microsoft Offices, 2007, 2010, 2013 & 2016. 👉🏼Adobe Reader (PDF) Reader 👉🏼Browsers kma vile; Firefox, Opera, Chrome etc. *🖊️PIA TUNAUZA SETUP/IMAGE ZA WINDOWS NA PROGRAMME MBALIMBALI KWA BEI NAFUU SANA* *🖊️SIYO HIVYO TU PIA TUNAFUNDISHA JINSI YA KUINSTALL WINDOWS NA PROGRAMMES MBALIMBALI PAMOJA NA...

NIMEKUSOGEZEA MAGAZETI YA LEO TAREHE 26/03/2020

Picha
Kutana na magazeti ya leo tarehe 26/03/2020

TAMISEMI WARUHUSU KUBADILI COMBINATION

Kwa wanafunzi ambao wanahitaji kubadilisha combination ingia hapa http://selform.tamisemi.go.tz/Account/Login Usisahau kusubscribe na kushare

HAYA NDIYO MABADILIKO UNAYOTAKIWA KUJUA

Usipobadilika, Dunia Itakubadilisha 1. Dunia ya Leo sio Dunia ya Kesho Tunaishi katika dunia mbayo huwezi kujua nini kitatokea kesho. Miaka michache iliyopita, hakuna aliyejua kwamba biashara ya Taxi itachukuliwa na UBER, BOLT, OLA CABS, LIM nk. Hakuna aliyejua kwamba leo hii mtu mwenye nyumba yake ya vyumba 3 atakuwa akigombania wateja "customers" dhidi ya mahoteli makubwa ya nyota 5 kama Hilton na Wyndham Worldwide kupitia Air BnB. Hakuna aliyejua kwamba NETLFIX itakuwa na nguvu kuliko vituo vya Tv na majumba ya sinema kama Century Cinemax. Na mbaya zaidi, hakuna aliyejua kwamba kazi nyingi zikiwemo za kitaalamu kama za wanasheria “lawyers”, madaktari “doctors”, marubani wa ndege “pilots” na waamuzi wa michezo mbalimbali ikiwemo soka “referees” zitachukuliwa na mashine au “robots”. Haya mabadiliko yapo kila sehemu kuanzia kwenye uchumi mpaka kwenye familia. Nani leo hii alijua kwamba itafika siku mwanamume na mwanamume wataruhusiwa kuwa mume na mke? “same sex marriage...

TANZU ZA USHAIRI WA KISWAHILI

Ushairi wa Kiswahili waweza kuainishwa katika tanzu au kumbo mbalimbali. Mulokozi (1996), ameuainisha ushairi wa kimapokeao katika kumbo kuu tatu za kimtindo. Kumbo hizo ni: ushairi wa kijadi au kimapokeo; ushairi wa mlegezo; na ushairi wa maigizo. 1. Ushairi wa Kimapokeo Haya ni mashairi ya kijadi yenye kufuata kanuni za urari wa mizani na mpangilio wa vina vya mwisho na/au vya kati. Mfano wa shairi la kimapokeo ni huu hapa: Namshukuru Namshukuru Illahi, Mwenyezi mkamilifu, Kwa kuishi nikawahi, kazini kustaafu, Bado ningali sahihi, imara na mkunjufu, Alihamdulilahi, namshukuru Latifu. Ulimwengu wa rakadha, umejaa hitilafu, Sikuweza mambo kadha: karibu mambo elfu; Kanipa hii karadha, Bwana Mungu namsifu, Alihamdulilahi, namshukuru Latifu. Hii sikutazamia, kwamba litanisadifu, Bahati imenijia, kwa kupenda Mtukufu, Mfano kama ruia, Mungu hana upungufu, Alihamdulilahi, namshukuru Latifu. (Shaaban Robert, 2003: 102 – 104) 2. Ushairi wa Mlegezo Haya ni mashairi...