Machapisho

NIMEKUSOGEZEA MAGAZETI YA LEO TAREHE 26/03/2020

Picha
Kutana na magazeti ya leo tarehe 26/03/2020

TAMISEMI WARUHUSU KUBADILI COMBINATION

Kwa wanafunzi ambao wanahitaji kubadilisha combination ingia hapa http://selform.tamisemi.go.tz/Account/Login Usisahau kusubscribe na kushare

HAYA NDIYO MABADILIKO UNAYOTAKIWA KUJUA

Usipobadilika, Dunia Itakubadilisha 1. Dunia ya Leo sio Dunia ya Kesho Tunaishi katika dunia mbayo huwezi kujua nini kitatokea kesho. Miaka michache iliyopita, hakuna aliyejua kwamba biashara ya Taxi itachukuliwa na UBER, BOLT, OLA CABS, LIM nk. Hakuna aliyejua kwamba leo hii mtu mwenye nyumba yake ya vyumba 3 atakuwa akigombania wateja "customers" dhidi ya mahoteli makubwa ya nyota 5 kama Hilton na Wyndham Worldwide kupitia Air BnB. Hakuna aliyejua kwamba NETLFIX itakuwa na nguvu kuliko vituo vya Tv na majumba ya sinema kama Century Cinemax. Na mbaya zaidi, hakuna aliyejua kwamba kazi nyingi zikiwemo za kitaalamu kama za wanasheria “lawyers”, madaktari “doctors”, marubani wa ndege “pilots” na waamuzi wa michezo mbalimbali ikiwemo soka “referees” zitachukuliwa na mashine au “robots”. Haya mabadiliko yapo kila sehemu kuanzia kwenye uchumi mpaka kwenye familia. Nani leo hii alijua kwamba itafika siku mwanamume na mwanamume wataruhusiwa kuwa mume na mke? “same sex marriage...

TANZU ZA USHAIRI WA KISWAHILI

Ushairi wa Kiswahili waweza kuainishwa katika tanzu au kumbo mbalimbali. Mulokozi (1996), ameuainisha ushairi wa kimapokeao katika kumbo kuu tatu za kimtindo. Kumbo hizo ni: ushairi wa kijadi au kimapokeo; ushairi wa mlegezo; na ushairi wa maigizo. 1. Ushairi wa Kimapokeo Haya ni mashairi ya kijadi yenye kufuata kanuni za urari wa mizani na mpangilio wa vina vya mwisho na/au vya kati. Mfano wa shairi la kimapokeo ni huu hapa: Namshukuru Namshukuru Illahi, Mwenyezi mkamilifu, Kwa kuishi nikawahi, kazini kustaafu, Bado ningali sahihi, imara na mkunjufu, Alihamdulilahi, namshukuru Latifu. Ulimwengu wa rakadha, umejaa hitilafu, Sikuweza mambo kadha: karibu mambo elfu; Kanipa hii karadha, Bwana Mungu namsifu, Alihamdulilahi, namshukuru Latifu. Hii sikutazamia, kwamba litanisadifu, Bahati imenijia, kwa kupenda Mtukufu, Mfano kama ruia, Mungu hana upungufu, Alihamdulilahi, namshukuru Latifu. (Shaaban Robert, 2003: 102 – 104) 2. Ushairi wa Mlegezo Haya ni mashairi...
*πŸ’₯πŸ’₯HESLB: MAJINA YA WANAFUNZI AMBAO WALIKOSEA KUJAZA FOMU ZA MIKOPO/ FOMU ZAO ZINA MAPUNGUFU* πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½ πŸ—£ *BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU IMETANGAZA MAJINA 25000 YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUAJAZA FOMU ZA MIKOPO YA ELIMU YA JUU 2018/19* *πŸ—£WANAFUNZI WOTE WANATAKIWA KUFANYA MAREKEBISHO KUANZIA J3 MPAKA JUMAPILI IJAYO 30 SEPTEMBER* *MAJINA YOTE YANAPATIKANA HAPA ...PAKUA PDF* πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½ https://udahiliportal.com/2018/09/heslb-public-notice-to-all-loan-applicants-2018-19-academic-year/ *TAFADHALI SAIDIA KUSHEA TAARIFA HII MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIAPPLY MIKOPO YA ELIMU YA JUU MWAKA HUU*

HIZI NI FAIDA ZA POMBE MWILINI

pombe ni nini? pombe ni neno ambalo linajumuisha aina zote za vilevi unazozifahamu, pombe za aina mbalimbali zinatengenezwa na kutumika na jamii zote duniani japokua kuna baadhi ya dini haziruhusu pombe. historia ya pombe inaonekana kwanzia zamani sana, kibiblia hata kabla ya kuzaliwa kwa yesu. sasa pombe ina hasara nyingi ambazo kila mtu anazifahamu ikinywea kwa kiasi kikubwa lakini kuna faida zake muhimu iwapo zikinywewa kwa kiasi kinachotakiwa. kiwango sahihi cha pombe ni kipi kiafya? kitaalamu mwanaume mmoja anatakiwa anywe vinywaji viwili vya pombe wakati mwanamke anatakiwa anywe kinywaji kimoja cha pombe. sasa tunaposema kinywaji hatumaanishi chupa pombe ila tunamaanisha kiasi cha pombe na asilimia zake ndani. kinywaji kimoja ni tunachozungumzia ni kama ifuatavyo... milimita 354 za bia ya kawaida yenye 5% ndio kinywaji kimoja. milimita 147 za wine au mvinyo yenye 12% ndio kinywaji kimoja. milimita 44 za pombe kali kama viroba zenye 40% ndio kinywaji kimoja. mfano hai tu...

KI 311 SEMANTIKI NA PRAGMATIKI YA KISWAHILI

Daniel Seni Academia.edu KI 311 SEMANTIKI NA PRAGMATIKI YA KISWAHILI DOWNLOAD 27 Seni, Daniel John/ An ordained pastor at Shekinah Presbyterian Church (T) Madale-/DSM. Contact him through +255769080629/+255786684062 or senishekinah@gmail.com 27 Mfano wa maswali; Familia yenu ina watu wangapi? Mbali na Wamasai ni watu gani wengine wanaojihusisha na ufugaji? 2. Matendo uneni yasiyo dhahiri Haya ni matendo ambayo aina ya sentensi haiwiani bali inakinzana. Kwa mfano:- Unaweza kumkopesha shilinga elfu kumi — sentensi hii kimuundo ni swali lakini dhima ni ombi. Kwa hiyo inafanya tendo uneni lisilo dhahiri. Mfano mwingine Njaa inaniuma sana — kimuundo sentensi hii inatoa inatoa taarifa lakini dhima ni kuomba chakula. Kwa hiyo katika muundo huu ni kuwepo kwa muundo tofauti na dhima. Aina za Matendo Uneni Austin (1962) ametaja aina tatu:- 1. Kile kisemwacho Aina hii inahusu usemi wa sentensi yoyote yenye maana inayoeleweka pia iwe na kitu kinachorejelewa. 2. Lengo...