NAFUU YAJA SERENGETI BOYS
Timu ya Taifa ya vijana wa chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) imepata nafuu zaidi kuelekea kufuzu mashindano ya Kombe la Dunia nchini India baada ya hatua ya Shirikisho la Kandanda Duniani (Fifa) kuifungia Mali kushiriki katika mashindano ya fainali za Afrika kwa Vijana nchini Gabon.

Afisa Habari wa TFF, Alfred Lucas amesema kuwa tayari Shirikisho la Kandanda la Afrika (Caf) limeindoa Mali imeitangaza nchi ya Ethiopia kuungana na Tanzania, Angola na Niger katika kundi B la mashindano hayo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

RIWAYA YA KISWAHILI NA SIFA ZAKE

KI 311 SEMANTIKI NA PRAGMATIKI YA KISWAHILI

TANZU ZA USHAIRI WA KISWAHILI