Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2025

LEO TUANGAZIE MAANA HALISI YA MUZIKI NA JINSI JAMII INAVYOLICHUKULI

UTANGULIZI kuna wanazuoni wengi ambao wamefasili maana ya mziki kwa ujumla wake aidha kwa mtazamo na zama walizonazo na mazingira yao kama ifuatavyo Kamusi ya Webster II ya New Riverside University inatafsiri muziki kuwa ni Sanaa ya kupanga sauti katika mtiririko maalum ili kutengeneza muundo endelevu. Kamusi ya Oxford toleo la 7 inafafanua; muziki ni sauti zilizopangiliwa vizuri kiasi ambacho zinafurahisha kusikiliza. Inaendelea kusema watu wanaweza kuimba muziki au kuupiga kwa kutumia ala za musiki. aidha katika majadiliano na baadhi ya watu majukwa kwenye jamii wanaeleza maana ya muziki kuwa muunganiko wa sauti zinazotoka kwenye ala sauti na maneno ya binadamu yakiwa na mpangilio maalumu @Siza jonathan kwa madai yake aaneleza dhana hii kuwa yeye amezaliwa na kukua pamoja na wanamziki kanisani ndio maana anaeleza hayo Muziki ni kitu kipana sana na huweza kufafanuliwa kwa jinsi tofauti tofauti, maana mbalimbali zimeweza kutolewa na wataalam mbalimbali na maana zote hizi zina ml...